Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 3:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Wote wamepotoka, wameoza wote pia; Hakuna mtenda mema, la! Hata mmoja.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Wote wamepotoka wote wamekosa; hakuna atendaye mema, hakuna hata mmoja.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wote wamepotoka, wote wameoza pamoja; hakuna atendaye mema, naam, hakuna hata mmoja.”

Tazama sura Nakili




Waroma 3:12
22 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.


Wote wamepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.


Mpumbavu husema moyoni, Hakuna Mungu; Ni wafisadi, na wametenda mambo ya kuchukiza, Hakuna atendaye mema.


Kila mtu amepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.


wamepotoka upesi kuiacha ile njia niliyowaamuru, wamejifanyia ndama ya kuyeyusha wakaiabudu na kuitolea dhabihu wakasema, “Hiyo ndiyo miungu yako, Ee Israeli, iliyokutoa katika nchi ya Misri”.


Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.


Tazama, hili tu nimeliona; Mungu amemfanya mwanadamu mnyofu, lakini wamepanga mipango mingi.


Sisi sote kama kondoo tumepotea; Kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe; Na BWANA ameweka juu yake Maovu yetu sisi sote.


Njia ya amani hawaijui; wala hapana hukumu ya haki katika mienendo yao; wamejifanyia njia zilizopotoka; kila apitaye katika njia hizo hajui amani.


Kwa maana sisi sote tumekuwa kama mtu aliye mchafu, na matendo yetu yote ya haki yamekuwa kama nguo iliyotiwa unajisi; sisi sote twanyauka kama jani, na maovu yetu yatuondoa, kama upepo uondoavyo.


Kwa maana watu wangu hawa wametenda maovu mawili; wameniacha mimi, niliye chemchemi ya maji ya uzima, wamejichimbia visima, visima vyenye nyufa visivyoweza kuweka maji.


Na mtumwa yule asiyefaa, mtupeni mbali katika giza la nje; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.


Hakuna afahamuye; Hakuna amtafutaye Mungu.


Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.


ambao zamani, sisi sote nasi tulienda kati yao, katika tamaa za miili yetu, tulipoyatimiza mapenzi ya mwili na ya nia, tukawa kwa tabia yetu watoto wa hasira, kama wengineo wote.


ambaye zamani alikuwa hakufai, bali sasa akufaa sana, wewe na mimi pia;


Kwa maana mlikuwa mnapotea kama kondoo; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mwangalizi wa roho zenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo