Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 2:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Wewe ujisifuye katika torati, wamvunjia Mungu heshima kwa kuiasi torati?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Kwa kujigamba ati unayo sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja sheria unamdharau Mungu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Kwa kujigamba ati unayo sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja sheria unamdharau Mungu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Kwa kujigamba ati unayo sheria ya Mungu, je huoni kwamba kwa kuivunja sheria unamdharau Mungu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Wewe ujivuniaye Torati, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja Torati?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?

Tazama sura Nakili




Waroma 2:23
14 Marejeleo ya Msalaba  

na siku ya saba kuhani ataliangalia hilo pigo; na ikiwa hicho kipwepwe hakikuenea, wala hamna nywele za rangi ya manjano ndani yake, na kwamba kipwepwe hakionekani kuingia ndani kuliko ngozi yenyewe,


Wakuu wake huhukumu ili wapate rushwa, na makuhani wake hufundisha ili wapate ijara, na manabii wake hubashiri ili wapate fedha; ila hata hivyo watamtegemea BWANA, na kusema, Je! Hayupo BWANA katikati yetu? Hapana neno baya lolote litakalotufikia.


Yule Farisayo akasimama akiomba hivi moyoni mwake; Ee Mungu, nakushukuru kwa kuwa mimi si kama watu wengine, wanyang'anyi, wadhalimu, wazinzi, wala kama huyu mtoza ushuru.


Msidhani kwamba mimi nitawashitaki kwa Baba; yuko anayewashitaki, ndiye Musa, mnayemtumaini ninyi.


Lakini wewe, ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea torati, na kujisifu katika Mungu,


Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.


Ku wapi, basi, kujisifu? Kumefungiwa nje. Kwa sheria ya namna gani? Kwa sheria ya matendo? La! Bali kwa sheria ya imani.


ambao ni Waisraeli, wenye kule kufanywa wana, na ule utukufu, na maagano, na kupewa torati, na ibada ya Mungu, na ahadi zake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo