Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waroma 2:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 na kuyajua mapenzi yake, na kuyakubali mambo yaliyo bora, nawe umeelimishwa katika torati,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 kwa njia ya sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 kwa njia ya sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 kwa njia ya sheria unajua matakwa ya Mungu na unaweza kuchagua jambo jema;

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo Torati,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,

Tazama sura Nakili




Waroma 2:18
19 Marejeleo ya Msalaba  

Kufafanuliwa kwa maneno yako kunatia nuru, Na kumfahamisha mjinga.


Maagizo ya BWANA ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya BWANA ni safi, Huyatia macho nuru.


Maana maagizo hayo ni taa, na sheria hiyo ni nuru, Na maonyo ya kumwadilisha mtu ni njia ya uzima.


upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.


Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana.


Mkiyajua hayo, heri ninyi mkiyatenda.


Kwa kuwa yote yaliyotangulia kuandikwa yaliandikwa ili kutufundisha sisi; ili kwa saburi na faraja ya Maandiko tupate kuwa na tumaini.


na kujua hakika ya kuwa wewe mwenyewe u kiongozi wa vipofu, mwanga wao walio gizani,


Tena liko taifa gani kubwa, lililo na amri na hukumu zenye haki kama torati hii yote, ninayoiweka mbele yenu leo?


mpate kuyakubali yaliyo mema; ili mpate kuwa na mioyo safi, bila kosa, mpaka siku ya Kristo;


jaribuni mambo yote; lishikeni lililo jema;


Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoeshwa kupambanua mema na mabaya.


Basi yeye ajuaye kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyo ni dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo