Waroma 2:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 katika siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu, sawasawa na Injili yangu, kwa Kristo Yesu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Hivyo, kufuatana na hii Habari Njema ninayohubiri, ndivyo itakavyokuwa wakati Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya binadamu kwa njia ya Yesu Kristo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kupitia kwa Isa Al-Masihi, kama isemavyo Injili yangu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Isa Al-Masihi, kama isemavyo Injili yangu. Tazama sura |