Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 2:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Kwa maana Mungu hana upendeleo.

Tazama sura Nakili




Waroma 2:11
14 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa hofu ya BWANA na iwe juu yenu; aiweni waangalifu katika jambo mtendalo, kwa maana kwa BWANA, Mungu wetu hakuna upotoshaji wala kupendelea nafsi za watu au kupokea rushwa.


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Wakatuma kwake wanafunzi wao pamoja na Maherodi, wakasema, Mwalimu, tunajua ya kuwa wewe u mtu wa kweli, na njia ya Mungu waifundisha katika kweli, wala hujali cheo cha mtu awaye yote, kwa maana hutazami sura za watu.


Wakamwuliza, wakisema, Mwalimu, twajua ya kwamba wasema na kufundisha yaliyo ya haki, wala hujali cheo cha mtu, bali unafundisha njia ya Mungu kwa kweli.


Petro akafumbua kinywa chake, akasema, Hakika natambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Tuseme nini basi? Kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha!


Lakini wale viongozi waliosifika kuwa wana cheo; (walivyokuwa vyovyote ni mamoja kwangu; Mungu hapokei uso wa mwanadamu); nasema, hao waliosifika hawakuniongezea kitu;


Nanyi, mabwana, watendeeni wao yayo hayo, pasipo kuwatisha, huku mkijua ya kuwa yeye aliye Bwana wao na wenu yuko mbinguni, wala kwake hakuna upendeleo.


Kwa maana BWANA, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea watu, wala kukubali rushwa.


Usipotoe maamuzi; wala usipendelee uso wa mtu; wala usitwae rushwa; kwa kuwa rushwa hupofusha macho ya wenye akili, na kugeuza kesi wa wenye haki.


Maana adhulumuye atapata mapato ya udhalimu wake, wala hakuna upendeleo.


Na ikiwa mnamwita Baba, yeye ahukumuye kila mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, nendeni kwa hofu katika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo