Waroma 16:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Ndiye Mungu mwenye hekima peke yake. Utukufu una yeye kwa Yesu Kristo, milele na milele. Amina. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Kwake Mungu aliye peke yake mwenye hekima, uwe utukufu kwa njia ya Yesu Kristo, milele na milele! Amina. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 ndiye Mungu, aliye pekee mwenye hekima, ambaye kupitia kwa Isa Al-Masihi utukufu ni wake milele na milele! Amen. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Isa Al-Masihi utukufu ni wake milele na milele! Amen. Tazama sura |