Waroma 15:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC7 Kwa hiyo mkaribishane ninyi kwa ninyi, kama naye Kristo alivyotukaribisha, ili Mungu atukuzwe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema7 Basi, karibishaneni kwa ajili ya utukufu wa Mungu kama naye Kristo alivyowakaribisheni. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND7 Basi, karibishaneni kwa ajili ya utukufu wa Mungu kama naye Kristo alivyowakaribisheni. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza7 Basi, karibishaneni kwa ajili ya utukufu wa Mungu kama naye Kristo alivyowakaribisheni. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu7 Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Al-Masihi alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu7 Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Al-Masihi alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu. Tazama sura |