Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waroma 15:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

32 nipate kufika kwenu kwa furaha, kama apendavyo Mungu, nikapate kupumzika pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Hivyo, Mungu akipenda, nitaweza kuja kwenu na moyo wa furaha, nikapumzike pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Hivyo, Mungu akipenda, nitaweza kuja kwenu na moyo wa furaha, nikapumzike pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Hivyo, Mungu akipenda, nitaweza kuja kwenu na moyo wa furaha, nikapumzike pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 ili kwa mapenzi ya Mwenyezi Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.

Tazama sura Nakili




Waroma 15:32
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kama baridi ya theluji wakati wa mavuno; Ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwao wamtumao; Kwa maana huwaburudisha bwana zake nafsi zao.


bali aliagana nao, akisema, Nitarejea kwenu tena, Mungu akinijalia. Akatweka, akatoka Efeso,


Basi ilipoamriwa tuabiri hadi Italia, wakamtia Paulo na wafungwa wengine katika mikono ya ofisa mmoja, jina lake Yulio, wa kikosi cha Augusto.


Nami najua ya kuwa nikija kwenu nitakuja kwa utimilifu wa baraka ya Kristo.


Maana wameniburudisha roho yangu, na roho zenu pia; basi wajueni sana watu kama hao.


Lakini nitakuja kwenu upesi, nikijaliwa, nami nitafahamu, si neno lao tu wajivunao, bali nguvu zao.


Kwa hiyo tulifarijiwa. Tena katika kufarijiwa kwetu tulifurahi sana kupita kiasi kwa sababu ya furaha ya Tito; maana roho yake imeburudishwa na ninyi nyote.


Bwana awape rehema wale walio wa jamaa wa Onesiforo; maana mara nyingi aliniburudisha, wala hakuuonea haya mnyororo wangu;


Naam, ndugu yangu, nifaidi kwa hili katika Bwana; uniburudishe moyo wangu katika Kristo.


Maana nilikuwa na furaha nyingi na faraja kwa sababu ya upendo wako, kwa kuwa mioyo ya watakatifu imeburudishwa nawe, ndugu yangu.


Badala ya kusema, Bwana akipenda, tutakuwa hai na kufanya hivi au hivi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo