Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 15:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Nami najua ya kuwa nikija kwenu nitakuja kwa utimilifu wa baraka ya Kristo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Najua ya kuwa nikija kwenu nitawaletea wingi wa baraka za Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Najua ya kuwa nikija kwenu nitawaletea wingi wa baraka za Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Najua ya kuwa nikija kwenu nitawaletea wingi wa baraka za Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Ninajua kwamba nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa baraka za Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Ninajua kwamba nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa baraka za Al-Masihi.

Tazama sura Nakili




Waroma 15:29
11 Marejeleo ya Msalaba  

Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako kuna furaha tele; Na katika mkono wako wa kulia Mna mema ya milele.


Nami nitawafanya wao, na mahali palipo pande zote za mlima wangu, kuwa baraka, nami nitaleta manyunyu kwa wakati wake; yatakuwako manyunyu ya baraka.


Mambo hayo yalipokwisha kumalizika, Paulo akaazimu rohoni mwake, akiisha kupita katika Makedonia na Akaya, aende Yerusalemu, akisema, Baada ya kuwako huko, yanipasa kuuona na Rumi pia.


Lakini sasa, kwa kuwa sina wasaa tena pande hizi, tena kwa miaka mingi nimekuwa nikitamani kuja kwenu;


nipate kufika kwenu kwa furaha, kama apendavyo Mungu, nikapate kupumzika pamoja nanyi.


Nami nikiwa na tumaini hilo nilitaka kufika kwenu hapo kwanza, ili mpate karama ya pili;


Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo;


na kuujua upendo wake Kristo, upitao ufahamu kwa jinsi ulivyo mwingi, mpate kutimilika kwa utimilifu wote wa Mungu.


Mimi, niliye mdogo kuliko yeye aliye mdogo wa watakatifu wote, nilipewa neema hii ya kuwahubiria Mataifa utajiri wake Kristo usiopimika;


hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo