Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 15:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 bali kama ilivyoandikwa, Wale wasiowahi kuhubiriwa habari zake wataona, Na wale wasiowahi kusikia habari zake watafahamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Watu wote ambao hawakuambiwa habari zake wataona; nao wale ambao hawajapata kusikia, wataelewa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Watu wote ambao hawakuambiwa habari zake wataona; nao wale ambao hawajapata kusikia, wataelewa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: “Watu wote ambao hawakuambiwa habari zake wataona; nao wale ambao hawajapata kusikia, wataelewa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Lakini kama ilivyoandikwa: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Lakini kama ilivyoandikwa: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona, nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.”

Tazama sura Nakili




Waroma 15:21
3 Marejeleo ya Msalaba  

ndivyo atakavyowastusha mataifa mengi; wafalme watamfumbia vinywa vyao; maana mambo wasiyoambiwa watayaona; na mambo wasiyoyasikia watayafahamu.


Watu wasionitaka wanauliza habari zangu; nimeonekana na hao wasionitafuta; nililiambia taifa lisiloitwa kwa jina langu,


Hata andiko hili hamjalisoma, Jiwe walilolikataa waashi, Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo