Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 15:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Basi imetupasa sisi tulio na nguvu kuuchukua udhaifu wao wasio na nguvu, wala haitupasi kujipendeza wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Sisi tulio imara katika imani tunapaswa kuwasaidia wale walio dhaifu wayakabili matatizo yao. Tusijipendelee sisi wenyewe tu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.

Tazama sura Nakili




Waroma 15:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, lakini msimhukumu mawazo yake.


Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga.


Lakini akiiona ahadi ya Mungu hakusita kwa kutoamini, bali alitiwa nguvu kwa imani, akimtukuza Mungu;


Sisi tu wapumbavu kwa ajili ya Kristo, lakini ninyi ni wenye akili katika Kristo; sisi tu dhaifu, lakini ninyi mna nguvu; ninyi mna utukufu, lakini sisi hatupati heshima.


Kwa wanyonge nilikuwa mnyonge, ili niwapate wanyonge. Nimekuwa hali zote kwa watu wote, ili kwa njia zote nipate kuwaokoa watu.


Kwa hiyo napendezwa na udhaifu, na matusi, na matatizo, na adha, na shida, kwa ajili ya Kristo. Maana niwapo dhaifu ndipo nilipo na nguvu.


Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.


Kila mtu asiangalie mambo yake mwenyewe, bali kila mtu aangalie mambo ya wengine.


Ndugu, tunawasihi, waonyeni wale wasiokaa kwa utaratibu; watieni moyo walio dhaifu; watieni nguvu wanyonge; vumilieni na watu wote.


Basi wewe, mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo katika Kristo Yesu.


Nimewaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nimewaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mna nguvu, na neno la Mungu linakaa ndani yenu, nanyi mmemshinda yule mwovu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo