Waroma 14:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC2 Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 Watu hutofautiana: Mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 Watu hutofautiana: Mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 Watu hutofautiana: mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu; lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula tu mboga za majani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu. Tazama sura |