Waroma 14:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Anayemtumikia Kristo namna hiyo humpendeza Mungu, na kukubaliwa na watu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Al-Masihi kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Al-Masihi kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu. Tazama sura |