Waroma 14:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC1 Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, lakini msimhukumu mawazo yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Mkaribisheni kwenu mtu aliye dhaifu, lakini msibishane naye juu ya mawazo yake binafsi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake. Tazama sura |