Waroma 10:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kwa maana Kristo ni mwisho wa sheria, ili kila aaminiye ahesabiwe haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Maana kwa kuja kwake Kristo, sheria imefikia kikomo chake, ili wote wanaoamini wafanywe waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Maana kwa kuja kwake Kristo, sheria imefikia kikomo chake, ili wote wanaoamini wafanywe waadilifu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Maana kwa kuja kwake Kristo, sheria imefikia kikomo chake, ili wote wanaoamini wafanywe waadilifu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Kwa maana Al-Masihi ni ukomo wa sheria ili kila mtu aaminiye ahesabiwe haki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kwa maana Al-Masihi ni ukomo wa sheria ili kuwe na haki kwa kila mtu aaminiye. Tazama sura |