Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Waroma 1:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 ambao katika hao ninyi mmekuwa wateule wa Yesu Kristo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Nyinyi ni miongoni mwa watu hao; mmeitwa muwe watu wake Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Nyinyi ni miongoni mwa watu hao; mmeitwa muwe watu wake Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Nyinyi ni miongoni mwa watu hao; mmeitwa muwe watu wake Yesu Kristo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Ninyi nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili wapate kuwa mali ya Isa Al-Masihi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Ninyi nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili mpate kuwa mali ya Isa Al-Masihi.

Tazama sura Nakili




Waroma 1:6
16 Marejeleo ya Msalaba  

ndio sisi aliotuita, si watu wa Wayahudi tu, ila na watu wa Mataifa pia?


Mungu ni mwaminifu ambaye mliitwa na yeye mwingie katika ushirika wa Mwanawe, Yesu Kristo Bwana wetu.


Nashangaa kwa kuwa mnamwacha upesi hivi yeye aliyewaita katika neema ya Kristo, na kugeukia Injili ya namna nyingine.


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.


Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmetengwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendo yenu mabaya, amewapatanisha sasa;


iliyofika kwenu, kama ilivyo katika ulimwengu wote, na kuzaa matunda na kukua, kama inavyokua kwenu pia, tangu siku mlipoisikia mkaifahamu sana neema ya Mungu katika kweli;


ili mwende kama ilivyo wajibu wenu kwa Mungu, mwenye kuwaita ninyi ili mwingie katika ufalme wake na utukufu wake.


aliyowaitia ninyi kwa Injili yetu, ili kuupata utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.


ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake mwenyewe na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu kabla ya wakati kuanza,


Kwa hiyo, ndugu watakatifu, wenye kuushiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini sana Mtume na Kuhani Mkuu wa maungamo yetu, Yesu,


Kwa sababu ndio mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Kwa hiyo ndugu, jitahidini zaidi kufanya imara kuitwa kwenu na uteule wenu; maana mkitenda hayo hamtajikwaa kamwe.


Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo, ndugu yake Yakobo, kwa hao walioitwa, waliopendwa katika Mungu Baba, na kuhifadhiwa kwa ajili ya Yesu Kristo.


Hawa watafanya vita na Mwana-kondoo, na Mwana-kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo