Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Waroma 1:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

31 wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 hawana dhamiri, hawatimizi ahadi zao, hawana wema wala huruma kwa wengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.

Tazama sura Nakili




Waroma 1:31
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mpumbavu hapendezwi na ufahamu; Ila moyo wake udhihirike tu.


Matawi yake yatakapokauka yatavunjwa; wanawake watakuja na kuyachoma moto; kwa maana hawa si watu wenye akili; kwa sababu hiyo yeye aliyewaumba hatawahurumia, yeye aliyewafanya hatawasamehe.


Njia kuu zimeachwa, msafiri ameikimbia barabara; ameyavunja maagano, ameidharau miji, hamjali mtu.


Kwa maana watu wangu ni wapumbavu, hawanijui; ni watoto waliopungukiwa na akili, wala hawana ufahamu; ni wenye akili katika kutenda mabaya, bali katika kutenda mema hawana maarifa.


Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili?


Akawaambia, Hivi hata ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kwamba kila kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia unajisi;


Hakuna afahamuye; Hakuna amtafutaye Mungu.


wasiowapenda wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, wasingiziaji, wasiojizuia, wakali, wasiopenda mema,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo