Waroma 1:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 yaani, tufarijiane mimi na ninyi, kila mtu kwa imani ya mwenzake, yenu na yangu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Ndiyo kusema, tutaimarishana: Imani yenu itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha nyinyi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Ndiyo kusema, tutaimarishana: Imani yenu itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha nyinyi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Ndiyo kusema, tutaimarishana: imani yenu itaniimarisha mimi, na yangu itawaimarisha nyinyi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi. Tazama sura |