Waroma 1:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Kwa maana ninatamani sana kuwaona, nipate kuwapa karama ya rohoni, ili mfanywe imara; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Kwa maana ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi ya kiroho na kuwaimarisha. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Kwa maana ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi ya kiroho na kuwaimarisha. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Kwa maana ninatamani sana kuwaoneni ili nipate kuwagawieni zawadi ya kiroho na kuwaimarisha. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Ninatamani sana kuwaona ili nipate kuwapa karama za rohoni ili mwe imara, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Ninatamani sana kuwaona ili nipate kuweka juu yenu karama za rohoni ili mwe imara, Tazama sura |