Walawi 8:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Basi Musa akafanya kama alivyoambiwa na BWANA; na huo mkutano ulikutanishwa mlangoni pa hema ya kukutania. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Mose akafanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, akaikusanya jumuiya yote mbele ya mlango wa hema la mkutano. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Mose akafanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, akaikusanya jumuiya yote mbele ya mlango wa hema la mkutano. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Mose akafanya kama alivyoamriwa na Mwenyezi-Mungu, akaikusanya jumuiya yote mbele ya mlango wa hema la mkutano. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Musa akafanya kama Mwenyezi Mungu alivyomwagiza, na watu wakakusanyika kwenye ingilio la Hema la Kukutania. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Musa akafanya kama bwana alivyomwagiza, na mkutano ukakusanyika kwenye ingilio la Hema la Kukutania. Tazama sura |