Walawi 8:36 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC36 Basi Haruni na wanawe wakafanya mambo hayo yote BWANA aliyoyaagiza kwa mkono wa Musa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema36 Basi, Aroni na wanawe wakafanya mambo yote aliyoamuru Mwenyezi-Mungu kwa njia ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND36 Basi, Aroni na wanawe wakafanya mambo yote aliyoamuru Mwenyezi-Mungu kwa njia ya Mose. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza36 Basi, Aroni na wanawe wakafanya mambo yote aliyoamuru Mwenyezi-Mungu kwa njia ya Mose. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu36 Kwa hiyo Haruni na wanawe wakafanya kila kitu Mwenyezi Mungu alichoamuru kupitia kwa Musa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu36 Kwa hiyo Haruni na wanawe wakafanya kila kitu bwana alichoamuru kupitia kwa Musa. Tazama sura |