Walawi 8:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Vile vile kama ilivyotendeka siku ya leo, ndivyo BWANA alivyoagiza, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Mwenyezi-Mungu ameamuru tufanye kama tulivyofanya leo ili tuwafanyieni ibada ya upatanisho. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Mwenyezi-Mungu ameamuru tufanye kama tulivyofanya leo ili tuwafanyieni ibada ya upatanisho. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Mwenyezi-Mungu ameamuru tufanye kama tulivyofanya leo ili tuwafanyieni ibada ya upatanisho. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Lile lililofanyika leo liliagizwa na Mwenyezi Mungu ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Lile lililofanyika leo liliagizwa na bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu. Tazama sura |