Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 8:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Vile vile kama ilivyotendeka siku ya leo, ndivyo BWANA alivyoagiza, ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Mwenyezi-Mungu ameamuru tufanye kama tulivyofanya leo ili tuwafanyieni ibada ya upatanisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Mwenyezi-Mungu ameamuru tufanye kama tulivyofanya leo ili tuwafanyieni ibada ya upatanisho.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Mwenyezi-Mungu ameamuru tufanye kama tulivyofanya leo ili tuwafanyieni ibada ya upatanisho.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Lile lililofanyika leo liliagizwa na Mwenyezi Mungu ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Lile lililofanyika leo liliagizwa na bwana ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

Tazama sura Nakili




Walawi 8:34
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wala msitoke nje mlangoni pa hema ya kukutania muda wa siku saba, hadi siku za kuwekwa wakfu kwenu zitakapotimia; kwa kuwa atawaweka muda wa siku saba.


Nanyi mtakaa mlangoni pa hema ya kukutania muda wa siku saba mchana na usiku, na kuulinda ulinzi wa BWANA ili kwamba msife; kwani ndivyo nilivyoagizwa.


asiyekuwa kuhani kwa sheria ya amri iliyo ya jinsi ya mwili, bali kwa nguvu za uzima usio na kikomo;


ambaye hana haja kila siku, mfano wa wale makuhani wakuu wengine, kwanza kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za hao watu; maana yeye alifanya hivi mara moja, alipojitoa nafsi yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo