Walawi 8:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 kisha akaweka vyote katika mikono ya Haruni, na katika mikono ya wanawe, na kuvitikisa huku na huko viwe sadaka ya kutikiswa mbele za BWANA. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 Mose akaviweka mikononi mwao Aroni na wanawe, nao wakafanya ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 Mose akaviweka mikononi mwao Aroni na wanawe, nao wakafanya ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 Mose akaviweka mikononi mwao Aroni na wanawe, nao wakafanya ishara ya kumtolea Mwenyezi-Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 Akaviweka hivi vyote mikononi mwa Haruni na wanawe, na kuviinua mbele za Mwenyezi Mungu kuwa sadaka ya kuinuliwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 Akaviweka hivi vyote mikononi mwa Haruni na wanawe, na kuviinua mbele za bwana kuwa sadaka ya kuinuliwa. Tazama sura |