Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 8:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Kisha akamkata kondoo vipande vyake; na Musa akateketeza kichwa, na vile vipande, na mafuta.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Alimkata huyo kondoo vipandevipande, akaviteketeza pamoja na kichwa chake na mafuta yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Alimkata huyo kondoo vipandevipande, akaviteketeza pamoja na kichwa chake na mafuta yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Alimkata huyo kondoo vipandevipande, akaviteketeza pamoja na kichwa chake na mafuta yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Musa akamkata yule kondoo dume vipande vipande na kukiteketeza kichwa, vile vipande na yale mafuta.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Musa akamkata yule kondoo dume vipande vipande na kukiteketeza kichwa, vile vipande na yale mafuta.

Tazama sura Nakili




Walawi 8:20
3 Marejeleo ya Msalaba  

Tena hizo kulabu, ambazo urefu wake ni shubiri, zilifungwa ndani pande zote; na juu ya meza hizo ilikuwako nyama ya matoleo.


kisha wana wa Haruni, makuhani, watazipanga kuni zilizo juu ya moto uliopo juu ya madhabahu;


Kisha akamchinja; na Musa akainyunyiza damu yake katika madhabahu pande zote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo