Walawi 7:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Nena na wana wa Israeli uwaambie, Yeye asongezaye dhabihu yake ya sadaka za amani kwa BWANA, atamletea BWANA matoleo yake, kutoka katika ile dhabihu ya sadaka zake za amani; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 “Waambie watu wa Israeli hivi: Mtu yeyote akitoa sadaka ya amani, atampa Mwenyezi-Mungu sehemu ya sadaka hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 “Waambie watu wa Israeli hivi: Mtu yeyote akitoa sadaka ya amani, atampa Mwenyezi-Mungu sehemu ya sadaka hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 “Waambie watu wa Israeli hivi: Mtu yeyote akitoa sadaka ya amani, atampa Mwenyezi-Mungu sehemu ya sadaka hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa Mwenyezi Mungu ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa Mwenyezi Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa bwana ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa bwana. Tazama sura |