Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 7:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

27 Mtu yeyote alaye damu, mtu huyo atatupiliwa mbali na watu wake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Mtu yeyote akila damu yoyote, atatengwa na watu wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Mtu yeyote akila damu yoyote, atatengwa na watu wake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Mtu yeyote akila damu yoyote, atatengwa na watu wake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Mtu yeyote atakayekula damu lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Ikiwa mtu yeyote atakunywa damu, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ”

Tazama sura Nakili




Walawi 7:27
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mtu yeyote wa nyumba ya Israeli, au miongoni mwa hao wageni wakaao kati yao, atakayekula damu, ya aina yoyote, nitamkataa mtu huyo alaye damu, na nitamtenga na watu wake.


Kwani huyo mtu atakayekula mafuta ya mnyama, ambaye ni katika wanyama ambao watu husongeza sadaka kwa BWANA kwa moto, mtu huyo atakayekula mafuta hayo atakatiliwa mbali na watu wake.


Tena msiile damu yoyote, ama ya ndege, ama ya mnyama, katika nyumba zenu zote.


BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Mwaonaje? Haikumpasa adhabu iliyo kubwa zaidi mtu yule aliyemkanyaga Mwana wa Mungu, na kuihesabu damu ya agano aliyotakaswa kwayo kuwa ni kitu ovyo, na kumfanyia jeuri Roho wa neema?


Ndipo wakamwambia Sauli, wakisema, Angalia, watu hao wanakosa juu ya BWANA, kwa jinsi wanavyokula pamoja na damu. Naye akasema, Ninyi mmefanya kwa hiana; vingirisheni kwangu leo jiwe kubwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo