Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 6:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Kila mwanamume miongoni mwa makuhani atakula katika hiyo; ni takatifu sana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Wanaoruhusiwa kuila ni wanaume wa ukoo wa makuhani peke yao kwa vile hiyo ni sadaka takatifu kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Wanaoruhusiwa kuila ni wanaume wa ukoo wa makuhani peke yao kwa vile hiyo ni sadaka takatifu kabisa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Wanaoruhusiwa kuila ni wanaume wa ukoo wa makuhani peke yao kwa vile hiyo ni sadaka takatifu kabisa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Kila mwanaume katika jamaa ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Kila mwanaume katika familia ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana.

Tazama sura Nakili




Walawi 6:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akaniambia, Vyumba vya upande wa kaskazini, na vyumba vya upande wa kusini, ambavyo vyaelekea mahali palipotengeka, ni vyumba vitakatifu; humo makuhani, wamkaribiao BWANA, watakula vitu vilivyo vitakatifu sana; humo wataviweka vitu vilivyo vitakatifu sana, na sadaka ya unga, na sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia; kwa maana mahali hapo ni patakatifu.


Nena na Haruni na wanawe, uwaambie, Amri ya hiyo sadaka ya dhambi ni hii; mahali hapo pachinjwapo sadaka ya kuteketezwa ndipo itakapochinjwa sadaka ya dhambi, mbele za BWANA; ni takatifu sana.


Huyo kuhani atakayeisongeza kwa ajili ya dhambi ndiye atakayeila; italiwa katika mahali patakatifu, katika ua wa hema ya kukutania.


Kila mwanamume miongoni mwa makuhani atakula katika sadaka hiyo; italiwa katika mahali patakatifu; ni takatifu sana.


Mtu akichukua nyama takatifu katika upindo wa nguo yake, naye kwa upindo wake akagusa mkate, au ugali, au divai, au mafuta, au chakula chochote, je, Kitu hicho kitakuwa kitakatifu? Makuhani wakajibu, wakasema, La.


Utakula vitu hivyo kuwa ni vitu vitakatifu sana; kila mwanamume atakula vitu hivyo; vitakuwa vitakatifu kwako wewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo