Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 6:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Tena kila sadaka ya unga ya kuhani itateketezwa kabisa; isiliwe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Sadaka yoyote ya nafaka iliyotolewa na kuhani itateketezwa yote; haitaliwa kamwe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Sadaka yoyote ya nafaka iliyotolewa na kuhani itateketezwa yote; haitaliwa kamwe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Sadaka yoyote ya nafaka iliyotolewa na kuhani itateketezwa yote; haitaliwa kamwe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itateketezwa kabisa; kamwe haitaliwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itateketezwa kabisa; kamwe haitaliwa.”

Tazama sura Nakili




Walawi 6:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na yule ng'ombe wa sadaka ya dhambi, na yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, ambao damu yao ililetwa ndani ifanye ukumbusho katika patakatifu, watachukuliwa nje ya kambi; nao watateketeza ngozi zao, na nyama yao, na mavi yao.


Na hicho kitakachosalia katika sadaka ya unga kitakuwa cha Haruni na wanawe; ni kitu kitakatifu sana katika sadaka zilizosongezwa kwa BWANA kwa njia ya moto.


maana, huyo ng'ombe mzima atamchukua nje ya kambi hata mahali safi, hapo wamwagapo majivu, naye atamchoma moto juu ya kuni; atachomwa moto hapo majivu yamwagwapo.


Kisha atamchukua huyo ng'ombe nje ya kambi, na kumteketeza vile vile kama alivyomteketeza ng'ombe wa kwanza; ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya mkutano.


Kisha huyo kuhani aliyetiwa mafuta atatwaa baadhi ya damu ya huyo ng'ombe, na kuileta ndani ya hiyo hema ya kukutania;


Na huyo kuhani aliyetiwa mafuta badala yake katika hao wanawe ataisongeza; itateketezwa kabisa kwa BWANA kwa amri ya milele.


BWANA akanena na Musa, na kumwambia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo