Walawi 6:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC22 Na huyo kuhani aliyetiwa mafuta badala yake katika hao wanawe ataisongeza; itateketezwa kabisa kwa BWANA kwa amri ya milele. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Kuhani aliye mzawa wa Aroni ambaye amepakwa mafuta kushika nafasi yake atamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo; hilo ni agizo la milele. Sadaka yote itateketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Kuhani aliye mzawa wa Aroni ambaye amepakwa mafuta kushika nafasi yake atamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo; hilo ni agizo la milele. Sadaka yote itateketezwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Kuhani aliye mzawa wa Aroni ambaye amepakwa mafuta kushika nafasi yake atamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo; hilo ni agizo la milele. Sadaka yote itateketezwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Mwanawe atakayeingia mahali pake kama kuhani aliyepakwa mafuta ndiye atakayeiandaa. Ni fungu la milele la Mwenyezi Mungu, nalo litateketezwa kabisa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Mwanawe atakayeingia mahali pake kama kuhani aliyetiwa mafuta ndiye atakayeiandaa. Ni fungu la kawaida la bwana, nalo litateketezwa kabisa. Tazama sura |