Walawi 6:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Tena Mwenyezi Mungu akamwambia Musa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Tena bwana akamwambia Musa, Tazama sura |
Kisha akaniambia, Vyumba vya upande wa kaskazini, na vyumba vya upande wa kusini, ambavyo vyaelekea mahali palipotengeka, ni vyumba vitakatifu; humo makuhani, wamkaribiao BWANA, watakula vitu vilivyo vitakatifu sana; humo wataviweka vitu vilivyo vitakatifu sana, na sadaka ya unga, na sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia; kwa maana mahali hapo ni patakatifu.