Walawi 6:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Na amri ya hiyo sadaka ya unga ni hii; wana wa Haruni wataisongeza mbele za BWANA, mbele ya madhabahu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 “Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya nafaka. Wazawa wa Aroni ndio walio na uwezo wa kumtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo juu ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 “Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya nafaka. Wazawa wa Aroni ndio walio na uwezo wa kumtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo juu ya madhabahu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 “Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya nafaka. Wazawa wa Aroni ndio walio na uwezo wa kumtolea Mwenyezi-Mungu sadaka hiyo juu ya madhabahu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “ ‘Haya ndio masharti ya sadaka ya nafaka: Wana wa Haruni wataileta mbele za Mwenyezi Mungu, mbele za madhabahu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “ ‘Haya ndiyo masharti ya sadaka ya nafaka: Wana wa Haruni wataileta mbele za bwana, mbele za madhabahu. Tazama sura |