Walawi 5:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Na kama mtu akifanya dhambi, na kutenda mambo hayo mojawapo ambayo BWANA alizuilia yasifanywe, ajapokuwa hakuyajua, ni mwenye hatia pia, naye atachukua uovu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 “Mtu yeyote akitenda dhambi bila kujua, kwa kuvunja amri yoyote ya Mwenyezi-Mungu, yeye ana hatia, na atalipa adhabu ya hatia yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 “Mtu yeyote akitenda dhambi bila kujua, kwa kuvunja amri yoyote ya Mwenyezi-Mungu, yeye ana hatia, na atalipa adhabu ya hatia yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 “Mtu yeyote akitenda dhambi bila kujua, kwa kuvunja amri yoyote ya Mwenyezi-Mungu, yeye ana hatia, na atalipa adhabu ya hatia yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 “Kama mtu akifanya dhambi, na kutenda yaliyokatazwa katika mojawapo ya amri za Mwenyezi Mungu, hata ikiwa hajui, yeye ana hatia na anastahili adhabu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 “Kama mtu akifanya dhambi na kufanya yale yaliyokatazwa katika mojawapo ya amri za bwana, hata ikiwa hajui, yeye ana hatia na anastahili adhabu. Tazama sura |