Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 5:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Mwenyezi-Mungu alimwambia Mose,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Mwenyezi Mungu akamwambia Musa:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 bwana akamwambia Musa:

Tazama sura Nakili




Walawi 5:14
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na huyo kuhani atamfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake ambayo katika mambo hayo mojawapo amefanya dhambi, naye atasamehewa; na unga uliosalia utakuwa wa kuhani, kama hiyo sadaka ya unga ilivyokuwa.


Mtu awaye yote akiasi na kufanya dhambi naye hakukusudia, katika mambo matakatifu ya BWANA; ndipo atakapomletea BWANA sadaka yake ya hatia, kondoo dume mkamilifu katika kundi lake; sawasawa na hesabu utakayomwandikia katika shekeli za fedha, kwa shekeli ya mahali patakatifu, kuwa sadaka ya hatia;


Na sheria ya hiyo sadaka ya hatia ni hii; ni takatifu sana.


Uwaambie wana wa Israeli, Mtu mume au mke atakapofanya dhambi yoyote, ifanywayo na binadamu, kumwasi BWANA, na mtu huyo akawa na hatia;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo