Walawi 27:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Na kama mtu akitaka kukomboa chochote cha zaka yake, ataongeza sehemu yake ya tano juu yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Kama mtu akitaka kuikomboa zaka yake, atalipa thamani yake na kuongeza asilimia ishirini ya thamani ya zaka hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Kama mtu akitaka kuikomboa zaka yake, atalipa thamani yake na kuongeza asilimia ishirini ya thamani ya zaka hiyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Kama mtu akitaka kuikomboa zaka yake, atalipa thamani yake na kuongeza asilimia ishirini ya thamani ya zaka hiyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 Kama mtu akikomboa chochote cha zaka yake, lazima aongeze sehemu ya tano ya thamani yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 Kama mtu akikomboa chochote cha zaka yake, lazima aongeze sehemu ya tano ya thamani yake. Tazama sura |