Walawi 27:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Kila aliyewekwa wakfu, aliyewekwa wakfu na binadamu, hatakombolewa; sharti atauawa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Mtu yeyote aliyewekwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu ili aangamizwe, asikombolewe; sharti auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Mtu yeyote aliyewekwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu ili aangamizwe, asikombolewe; sharti auawe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Mtu yeyote aliyewekwa wakfu kwa Mwenyezi-Mungu ili aangamizwe, asikombolewe; sharti auawe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 “ ‘Mtu yeyote aliyewekwa wakfu ili kuangamizwa, hawezi kukombolewa. Mtu kama huyo lazima auawe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 “ ‘Mtu yeyote aliyewekwa wakfu ili kuangamizwa, hawezi kukombolewa. Mtu kama huyo lazima auawe. Tazama sura |