Walawi 26:27 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC27 Tena ikiwa baada ya hayo yote hamtaki kunisikiza, bali mnaenda kinyume; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema27 “Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND27 “Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza27 “Na kama hata baada ya hayo yote bado hamtanisikiliza mkaendelea kunipinga, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu27 “ ‘Kama hata baada ya haya bado hamtanisikiliza lakini mkaendelea kuweka uadui nami, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu27 “ ‘Kama hata baada ya haya bado hamtanisikiliza lakini mkaendelea kuweka uadui nami, Tazama sura |