Walawi 25:39 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC39 Tena kwamba nduguyo amekuwa maskini pamoja nawe, akajiuza kwako; usimfanye akutumikie kama mtumwa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema39 “Kama ndugu yako anayeishi karibu nawe amekuwa maskini, akijiuza kwako, usimfanye akutumikie kama mtumwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND39 “Kama ndugu yako anayeishi karibu nawe amekuwa maskini, akijiuza kwako, usimfanye akutumikie kama mtumwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza39 “Kama ndugu yako anayeishi karibu nawe amekuwa maskini, akijiuza kwako, usimfanye akutumikie kama mtumwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu39 “ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako amekuwa maskini kati yako, naye akajiuza kwako, usimfanye atumike kama mtumwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu39 “ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako amekuwa maskini katikati yako, naye akajiuza kwako, usimfanye atumike kama mtumwa. Tazama sura |