Walawi 25:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC34 Lakini konde la malisho ya miji yao lisiuzwe kwa kuwa ni milki yao ya daima. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Lakini mashamba wanayomiliki Walawi kwa pamoja, yasiuzwe, kwani huo ni urithi wao wa kudumu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Lakini mashamba wanayomiliki Walawi kwa pamoja, yasiuzwe, kwani huo ni urithi wao wa kudumu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Lakini mashamba wanayomiliki Walawi kwa pamoja, yasiuzwe, kwani huo ni urithi wao wa kudumu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Lakini maeneo ya malisho yaliyo mali ya miji yao kamwe yasiuzwe, ni milki yao ya kudumu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Lakini nchi ya malisho iliyo mali ya miji yao kamwe isiuzwe, ni milki yao ya kudumu. Tazama sura |