Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 25:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

34 Lakini konde la malisho ya miji yao lisiuzwe kwa kuwa ni milki yao ya daima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Lakini mashamba wanayomiliki Walawi kwa pamoja, yasiuzwe, kwani huo ni urithi wao wa kudumu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Lakini mashamba wanayomiliki Walawi kwa pamoja, yasiuzwe, kwani huo ni urithi wao wa kudumu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Lakini mashamba wanayomiliki Walawi kwa pamoja, yasiuzwe, kwani huo ni urithi wao wa kudumu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Lakini maeneo ya malisho yaliyo mali ya miji yao kamwe yasiuzwe, ni milki yao ya kudumu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Lakini nchi ya malisho iliyo mali ya miji yao kamwe isiuzwe, ni milki yao ya kudumu.

Tazama sura Nakili




Walawi 25:34
7 Marejeleo ya Msalaba  

tena kwa ajili ya wana wa Haruni makuhani, waliokuwamo mashambani mwa malisho ya miji yao, mji kwa mji, kulikuwa na watu waliotajwa majina yao, ili kuwagawia sehemu wanaume wote miongoni mwa makuhani, na wote waliohesabiwa kwa nasaba miongoni mwa Walawi.


Na kuukabili mpaka wa makuhani, Walawi watakuwa na fungu, urefu wake mianzi elfu ishirini na tano, na upana wake mianzi elfu kumi; urefu wote utakuwa mianzi elfu ishirini na tano, na upana wake mianzi elfu kumi.


Wala hawatauza sehemu yake, wala kuibadili, wala hawatawapa wengine malimbuko ya nchi; maana ni matakatifu kwa BWANA.


Nayo nchi haitauzwa kabisa kabisa; kwani nchi ni yangu mimi; maana ninyi ni wageni na wapangaji wangu.


Tena mtu mmoja wa hao Walawi akikomboa nyumba iliyouzwa na mji wa milki yake, itatoka katika jubilii; maana, hizo nyumba za miji ya Walawi ni milki yao kati ya wana wa Israeli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo