Walawi 25:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Pamoja na hayo, miji ya Walawi, nyumba za miji ya milki yao, Walawi wana ruhusa ya kuzikomboa majira yoyote. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Hata hivyo, nyumba zilizomo katika miji wanayomiliki Walawi zinaweza kukombolewa wakati wowote. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Hata hivyo, nyumba zilizomo katika miji wanayomiliki Walawi zinaweza kukombolewa wakati wowote. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Hata hivyo, nyumba zilizomo katika miji wanayomiliki Walawi zinaweza kukombolewa wakati wowote. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 “ ‘Walawi siku zote wana haki ya kukomboa nyumba zao katika miji ya Walawi wanayoimiliki. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 “ ‘Walawi siku zote wana haki ya kukomboa nyumba zao katika miji ya Walawi wanayoimiliki. Tazama sura |