Walawi 25:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC20 Na kama mkisema, Je! Mwaka wa saba tutakula nini? Angalieni hatutapanda mbegu, wala kukusanya mavuno yetu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Lakini labda mtafikiri, ‘Tutakula nini katika mwaka wa saba iwapo haturuhusiwi kupanda wala kuvuna mazao yetu?’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Lakini labda mtafikiri, ‘Tutakula nini katika mwaka wa saba iwapo haturuhusiwi kupanda wala kuvuna mazao yetu?’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Lakini labda mtafikiri, ‘Tutakula nini katika mwaka wa saba iwapo haturuhusiwi kupanda wala kuvuna mazao yetu?’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Mwaweza kuuliza, “Tutakula nini katika mwaka wa saba ikiwa hatutapanda wala kuvuna mazao yetu?” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Mwaweza kuuliza, “Tutakula nini katika mwaka wa saba ikiwa hatutapanda wala kuvuna mazao yetu?” Tazama sura |