Walawi 25:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Kwa sababu hii zitendeni amri zangu, mkazishike hukumu zangu, na kuzifanya; nanyi mtakaa katika hiyo nchi salama. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 “Kwa hiyo, mtafuata masharti yangu na kutekeleza maagizo yangu, ili mpate kuendelea kuishi kwa usalama katika nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 “Kwa hiyo, mtafuata masharti yangu na kutekeleza maagizo yangu, ili mpate kuendelea kuishi kwa usalama katika nchi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 “Kwa hiyo, mtafuata masharti yangu na kutekeleza maagizo yangu, ili mpate kuendelea kuishi kwa usalama katika nchi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 “ ‘Fuateni amri zangu na mwe waangalifu kutii amri zangu, nanyi mtaishi salama katika nchi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 “ ‘Fuateni amri zangu, mwe waangalifu kutii amri zangu, nanyi mtaishi salama katika nchi. Tazama sura |