Walawi 25:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC14 Tena kama ukimwuzia jirani yako chochote, au kununua chochote mkononi mwa jirani yako, msidanganyane wenyewe kwa wenyewe; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Unaponunua au kuuza ardhi kwa jirani usimpunje. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Unaponunua au kuuza ardhi kwa jirani usimpunje. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Unaponunua au kuuza ardhi kwa jirani usimpunje. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 “ ‘Ikiwa utauza ardhi kwa mmoja wa wazawa wa nchi yako, au ukinunua ardhi kutoka kwake, mmoja asimpunje mwingine. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 “ ‘Ikiwa utauza ardhi kwa mmoja wa wazawa wa nchi yako, au ukinunua ardhi kutoka kwake, mmoja asimpunje mwingine. Tazama sura |