Walawi 25:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC13 Mwaka huo wa jubilii mtairudia kila mtu milki yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema13 “Katika mwaka huo chochote ambacho kiliuzwa ni lazima kirudishwe kwa mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND13 “Katika mwaka huo chochote ambacho kiliuzwa ni lazima kirudishwe kwa mwenyewe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza13 “Katika mwaka huo chochote ambacho kiliuzwa ni lazima kirudishwe kwa mwenyewe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu13 “ ‘Katika huu Mwaka wa Yubile, kila mmoja atarudi kwenye mali yake mwenyewe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu13 “ ‘Katika huu Mwaka wa Yubile, kila mmoja atarudi kwenye mali yake mwenyewe. Tazama sura |