Walawi 25:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Kwa kuwa ni jubilii; utakuwa mwaka mtakatifu kwenu; mtakula mavuno yake yatokayo shambani. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Mwaka huo ni wa sikukuu kwenu; utakuwa mwaka mtakatifu. Hivyo mtakula yale yanayoota yenyewe mashambani. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Mwaka huo ni wa sikukuu kwenu; utakuwa mwaka mtakatifu. Hivyo mtakula yale yanayoota yenyewe mashambani. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Mwaka huo ni wa sikukuu kwenu; utakuwa mwaka mtakatifu. Hivyo mtakula yale yanayoota yenyewe mashambani. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Kwa kuwa ni Yubile, nayo itakuwa takatifu kwenu; mtakula tu kile kilichotoka moja kwa moja mashambani. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Kwa kuwa ni yubile, nayo itakuwa takatifu kwenu; mtakula tu kile kilichotoka moja kwa moja mashambani. Tazama sura |