Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Walawi 24:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Anayemuua mnyama ni lazima atoe fidia; lakini mtu yeyote akimuua mtu mwingine ni lazima naye auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.

Tazama sura Nakili




Walawi 24:21
4 Marejeleo ya Msalaba  

Hakika damu yenu ya uhai wenu nitaitaka; na kwa mkono wa kila mnyama nitaitaka; na kwa mkono wa mwanadamu, kwa mkono wa ndugu ya mtu nitataka uhai wa mwanadamu.


Ikiwa mtu atafunua shimo, au kuchimba shimo, naye asilifunike, kisha ikawa ng'ombe au punda kutumbukia humo,


ndipo itakapokuwa, akiwa amefanya dhambi, na kupata hatia, atarudisha hicho alichokipata kwa kunyang'anya, au kitu kile alichokipata kwa kuonea, au ile amana aliyowekewa, au kitu kile kilichopotea alichokipata yeye,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo