Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 24:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 na atakayempiga mnyama hadi akafa atalipa; uhai kwa uhai.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: uhai kwa uhai.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.

Tazama sura Nakili




Walawi 24:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa mtu atafunua shimo, au kuchimba shimo, naye asilifunike, kisha ikawa ng'ombe au punda kutumbukia humo,


Na mtu akimtia mwenziwe kilema; vile vile kama alivyofanya, naye atafanyiwa vivyo hivyo;


Na mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa.


ndipo itakapokuwa, akiwa amefanya dhambi, na kupata hatia, atarudisha hicho alichokipata kwa kunyang'anya, au kitu kile alichokipata kwa kuonea, au ile amana aliyowekewa, au kitu kile kilichopotea alichokipata yeye,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo