Walawi 24:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 na atakayempiga mnyama hadi akafa atalipa; uhai kwa uhai. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: Uhai kwa uhai. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Mtu yeyote anayeua mnyama ni lazima atoe fidia: uhai kwa uhai. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai. Tazama sura |