Walawi 24:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC15 Nawe nena na wana wa Israeli na kuwaambia, Mtu yeyote atakayemlaani Mungu wake atachukua dhambi yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 Nawe uwaambie Waisraeli kwamba mtu yeyote atakayemlaani Mungu wake ni lazima awajibike kwa dhambi yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 Nawe uwaambie Waisraeli kwamba mtu yeyote atakayemlaani Mungu wake ni lazima awajibike kwa dhambi yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 Nawe uwaambie Waisraeli kwamba mtu yeyote atakayemlaani Mungu wake ni lazima awajibike kwa dhambi yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Waambie Waisraeli: ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani Mungu wake, atakuwa na hatia kwa uovu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Waambie Waisraeli: ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani Mungu wake, atakuwa na hatia kwa uovu wake; Tazama sura |