Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 23:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu msifanye kazi yoyote ya utumishi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Katika siku ya kwanza mtakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo msifanye kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Katika siku ya kwanza mtakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo msifanye kazi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Katika siku ya kwanza mtakuwa na mkutano mtakatifu. Siku hiyo msifanye kazi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Katika siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Katika siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.

Tazama sura Nakili




Walawi 23:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Siku ya kwanza kutakuwa kwenu na kusanyiko takatifu, na siku ya saba kutakuwa kusanyiko takatifu; haitafanywa kazi yoyote katika siku hizo, isipokuwa kwa hiyo ambayo kila mtu hana budi kula, hiyo tu ifanyike kwenu.


Nanyi mtatangaza suku iyo hiyo; kutakuwa na kusanyiko takatifu kwenu; msifanye kazi yoyote ya utumishi; ni amri ya milele katika makao yenu yote, katika vizazi vyenu.


Msifanye kazi yoyote ya utumishi; nanyi mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto.


Lakini mtasongeza sadaka kwa BWANA kwa njia ya moto siku saba; siku ya saba ni kusanyiko takatifu; msifanye kazi yoyote ya utumishi.


Tena mwezi wa saba, siku ya kwanza ya mwezi, mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote ya utumishi; ni siku ya kupiga tarumbeta kwenu.


Tena siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu; hamtafanya kazi yoyote kwenye nafsi zenu, nanyi mtamfanyia BWANA sikukuu muda wa siku saba;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo