Walawi 23:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Kwa kuwa mtu yeyote asiyejinyima siku iyo hiyo, atatengwa na watu wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Mtu yeyote asiyefunga siku hiyo ni lazima atengwe mbali na watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Mtu yeyote asiyefunga siku hiyo ni lazima atengwe mbali na watu wake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Mtu yeyote asiyefunga siku hiyo ni lazima atengwe mbali na watu wake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Mtu ambaye hatafunga siku hiyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Mtu yeyote ambaye hatafunga siku hiyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake. Tazama sura |