Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Walawi 22:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Tena mtakapomchinjia BWANA dhabihu ya shukrani, mtamchinja ili mpate kukubaliwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Utakaponitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya shukrani utaitoa kwa namna ambayo itakufanya ukubaliwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Utakaponitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya shukrani utaitoa kwa namna ambayo itakufanya ukubaliwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Utakaponitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya shukrani utaitoa kwa namna ambayo itakufanya ukubaliwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Unapomtolea Mwenyezi Mungu dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Unapomtolea bwana dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako.

Tazama sura Nakili




Walawi 22:29
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na wamtolee dhabihu za kushukuru, Na kuyasimulia matendo yake kwa kuimba.


Nitakutolea dhabihu ya kushukuru; Na kulitangaza jina la BWANA;


Chukueni maneno pamoja nanyi, mkamrudie BWANA; mkamwambie, Ondoa maovu yote, uyatakabali yaliyo mema; na hivyo ndivyo mtakavyotoa sadaka za midomo yetu kana kwamba ni ng'ombe.


Italiwa siku iyo hiyo; msisaze kitu chake hata asubuhi; mimi ndimi BWANA.


Na sheria ya matoleo ya sadaka za amani, atakazosongeza mtu kwa BWANA, ni hii.


mkachome sadaka ya shukrani, ya kitu kilichotiwa chachu; mkatangaze sadaka mtoazo kwa hiari na kuzihubiri habari zake; kwa maana ndivyo viwapendezavyo ninyi, enyi wana wa Israeli, asema Bwana MUNGU.


Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.


Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa muwe nyumba ya Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo