Walawi 22:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Tena mtakapomchinjia BWANA dhabihu ya shukrani, mtamchinja ili mpate kukubaliwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Utakaponitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya shukrani utaitoa kwa namna ambayo itakufanya ukubaliwe. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Utakaponitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya shukrani utaitoa kwa namna ambayo itakufanya ukubaliwe. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Utakaponitolea mimi Mwenyezi-Mungu sadaka ya shukrani utaitoa kwa namna ambayo itakufanya ukubaliwe. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 “Unapomtolea Mwenyezi Mungu dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 “Unapomtolea bwana dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako. Tazama sura |